Proverbs 5:15-18


15Kunywa maji kutoka kwenye kisima chako mwenyewe,
maji yanayotiririka kutoka kwenye kisima chako mwenyewe.
16Je, chemchemi zako zifurike katika barabara za mji
na vijito vyako vya maji viwanjani?
17Na viwe vyako mwenyewe,
kamwe visishirikishwe wageni.
18 aChemchemi yako na ibarikiwe
na umfurahie mke wa ujana wako.
Copyright information for SwhNEN